Saturday, October 22, 2011

CHOMBEZO

Kuanzia leo nitaanza kuwaletea chombezo kali, ambalo litakuwa linatoka mara tatu kwa wiki. Kaa mkao wa kula...ni bonge la Love Story...

Thursday, October 20, 2011

...KWA AJILI YAKO

WAPENDWA WA BLOG HII PENDWA YA MADA ZA MAPENZI, MAISHA, BURUDANI NA SANAA KWA UJUMLA, SASA NAWATANGAZIA RASMI KWAMBA, NIMEANZA KUPOKEA E MAIL ZENU ZA KUOMBA USHAURI NA KUTAFUTA MARAFIKI NA WACHUMBA.

MARAFIKI:
Tuma email yako kupitia joeshaluwa@gmail.com, taja umri wako, mahali ulipo, namba yako ya simu na sifa za rafiki au mchumba unayemhitaji. Kama ukipenda unaweza kutuma na picha yako, nami nitaiweka hapa kwenye blog pendwa, halafu kazi itabaki kwa wadau, ukiwa na sifa utatafutwa!

USHAURI:
Kama una tatizo katika uhusiano wako na mpenzi wako, ndoa ina migogoro au matatizo mbalimbali ya kimaisha ambayo umeshindwa kuyapatia ufumbuzi, tuma email yako ukieleza kwa kina juu ya tatizo lako. Ni hiyari yako kukubali kushauriwa moja kwa moja na mimi au nichape maelezo yako kisha wadau wakushauri. Siyo lazima kuandika jina lako.
Karibuni sana.
Joseph Shaluwa
Oktoba 20, 2011.
Dar es Salaam.

Wednesday, October 19, 2011

LOWASSA AVUNJA UKIMYA MONDULI

Mbunge wa Monduli (CCM) Mhe. Edward Lowassa





Source: Michuzi Blog

Friday, September 9, 2011

SUGUA UBONGO KIDOGO....


Upo kwenye uhusiano na mpenzi wako kwa miaka mitatu sasa, uamuzi wenu ni kufunga ndoa. Tayari uhusiano wenu unajulikana na ndugu wa pande zote mbili. Ndoa yenu imeshatangazwa Kanisani.
Ikiwa zimebaki wiki mbili kabla ya ndoa yenu unamkuta mpenzi wako akiwa na mtu mwingine watupu kitandani. Anahamaki na kukuomba msamaha. Je, utamsamehe ili mfunge ndoa au utamuacha? Kama ni wewe ungefanyaje?
Hebu tusugue ubongo kidogo....

Thursday, September 8, 2011

UNAWEZA KUWATAMBUA HAWA?

LET'S TALK ABOUT LOVE


Kitabu changu cha Let's Talk About Love, chenye Love Messages nyingi za kimapenzi na mada nyingi za uhusiano na mapenzi. Hakikisha hukosi nakala yako kwa bei ya Tshs. 3000/=

Wednesday, April 6, 2011

SAFARI YA KIJIJINI...



Mto wa msimu, Mpambala, Iramba, Singida